Saturday 30 May 2009

CCM still powerful - Research

Friday, May 29, 2009
CCM bado ina nguvu Tanzania-Tafiti

The Revolutionary State Party (CCM) is clearly the dominant political party in Tanzania, according to a poll by REPOA, Michigan State University, and Afrobarometer.
79 per cent of respondents would vote for the nominee of the CCM in the next presidential election.
The candidates representing the Civic United Front (CCW) and the Party for Democracy and Progress (CHADEMA) are far behind, with four per cent each.
Only one per cent of respondents would support the candidate of the National Convention for Construction and Reform (NCCR).
Tanzania held presidential and legislative elections in December 2005.
The CCM’s Jakaya Kikwete won the ballot with 80.2 per cent of the vote. His party also won most of multilateral level.
If a presidential election were held tomorrow, which party’s candidate would you vote for?Revolutionary State Party (CCM) 79%
Civic United Front (CUF) 4%
Party for Democracy and Progress (CHADEMA) 4%
National Convention for Construction and Reform (NCCR) 1%
Source: REPOA / Michigan State University / Afrobarometer Methodology:
Face-to-face interviews with 1,208 Tanzanian adults, conducted in June and July 2008. Margin of error is 2 per cent.

(Angus Reid Global Monitor) - kama nilivyochukua kutoka http://charaz.blogspot.com/


source: lukwangule.blogspot.com

Friday 29 May 2009

Starting a Business

Starting a business

Thousands of people set up their own businesses every year. Some do it because they want to work for themselves, others because they have a great idea and have spotted a gap in the market. And of course there are those that think they can make lots of money.

These are all valid reasons for starting a business. Commitment and motivation are vital and whatever it is that drives you to make it a success good.
Although enthusiasm is important, good planning is a must. Without a good business plan you could struggle to make a go of it.

There are many issues to think about:
1. What will the business do?
2. Where can it operate?
3. Will I need premises?
4. Do I need people to make it happen, or will I be flying solo for some time?
5. Can I fund the business myself, or do I need financial support?
6. How long will it take to get the business into profit?
7. Have I got what it takes to make it work?

There is no right or wrong type of person to run a business. If you are determined to make it succeed, and are prepared to work long hours, then you have the ingredients for success.

If you look at top business people, the one thing they have in common is determination. They do not give up at the first hurdle and they keep going until they succeed.


Be your own boss

Obstacles and setbacks
There will be many of these but how you overcome them will be critical to deciding whether or not you will ultimately succeed. If you are not the sort of person who responds well to setbacks, you ought to ask yourself whether you are the right person to be trying to get a business off the ground.

Finances
You need good advisers - usually an accountant and a lawyer - when you are handling complex issues such as finances, tax and business law. All businesses require a certain amount of administration and you will have to spend time going through paperwork. If you tend to bury your head in the sand and ignore detail, you need a good right-hand person who will concentrate on the detail. Not all great business leaders were good at the small print, but all good business people have someone close to them who is.

(source: www.thisismoney.co.uk/help-and-advice)
.........................................................

ONE RED PAPERCLIP BUSINESS!!
My name is Kyle MacDonald and I traded one red paperclip for a house. I started with one red paperclip on July 12 2005 and 14 trades later, on July 12, 2006 I traded with the Town of Kipling Saskatchewan for a house located at 503 Main Street.

That's right, Dom and I are trading the red paperclip house. With who? For what? Well that's where things get interesting:

We have no idea yet.

I'm not looking for anything in particular in exchange for the house, other than maybe several 1990 Burgundy Dodge Caravana with low miles. That aside, it would be great to trade with somebody who:

-Plans to live or operate a business in the house.
-Understands the house is a tourist attraction in Kipling, and important to the community.
-Also, if you know who these guys are, it will come in handy in a tie-breaker situation. -- Watch this video!.

If you'd like to make a trade offer for the house, please contact me at oneredpaperclip@gmail.com or call the number in the contact section of this website.

Really, I'm looking for nothing in particular, just to make a trade and see where this goes. So if you have anything you'd like to offer in exchange for the house, and I mean anything, be sure to send in your offer!

Details about the red paperclip house:
Located at 503 Main Street in Kipling Saskatchewan Canada
Fully furnished.
Two floors + basement
Three bedrooms
Two bathrooms
Refinished hardwood floors.
Fridge, stove, sinks, drawers, shelves...all the regular kitchen stuff.
Electricity!
Large grass front yard + large grass backyard.
Gas hot water tank + gas furnace.
close proximity to schools, restaurants, grocery stores, hospital, etc. Kipling has most services in town.
Giant red paperclip on the front lawn.
located a stone's throw away from the world's largest red paperclip.
Click on thumbs to see more pics of the house:


Once again, if you'd like to make a trade offer for the house, please contact me at oneredpaperclip@gmail.com or call the number in the contact section of this website.

Have fun,

Kyle


Labels: kipling, one red paperclip, oneredpaperclip, red paperclip, saskatchewan, who are these guys

6/17/2008 01:48:00 PM - permalink 76 comments links to this post

How to make an offer for the house To make an offer for the house, please:

1. Send your offer via email to oneredpaperclip@gmail.com

or

2. Call my cell in the contact section of this website.

You can read more about the house by clicking here.

Thanks!

Kyle

6/16/2008 12:50:00 AM - permalink 24 comments links to this post

franglais ***UPDATE: It looks like the video link is down. If anyone has a copy of the link, let me know!****

So I wound up in France on TV to promote the release of the french version of the one red paperclip book, which is called "un trombone rouge." The producers weren't comfortable with my learned-while-drinking-with-friends anglo-quebecois french, so they opted for the live french dub. The effect makes it pretty much impossible to understand what's going on, although my comprehension of french isn't exactly 100%, but the monsieur who did the live voice over has a very nice accent. Highlights of this video include the seemingly rude phenomenon of a guy answering live questions on french TV in english, sharing the stage with Jean Claude Van Damme, and giving the "who are these guys" guys not one, but two plugs. How sweet would it be if Jean Claude Van Damme starred in the one red paperclip movie, and those guys were the bad guys?


source: onepaperclip.blospot.com, by Kyle Macdonald

Business Communication

Working together: business communications

Effective communication is an essential part of a smoothly running business organisation. Communication involves the transmission of information from a source (or a number of sources) to receivers. The information is communicated in the form of a message. In the modern organisation there will be multi-channel flows of communication. For example a customer may request a new part from a supplier, with information on how to use that part in a piece of equipment. The supplier will then communicate with the customer setting out instructions for using the part, as well as sending a delivery note, invoice, and further sales literature. Increasingly these interactions will be carried out by electronic media such as through a sales website, e-mail communications and other means.

The effectiveness of communications depends on:

1.The clarity of the message.

2.The quality of the medium used to transmit the message. The medium is the means of communicating e.g. e-mail, telephone, letter, etc.

3.Any distracting 'noise' that prevent the message from effectively getting through. For example, if the recipient receives lots of e-mail messages, they may fail to give proper attention to the sender's message.

3.The ability of the receiver to decode the message. For example, they may not be able to understand the instructions given.

There are two main forms of business communication:
1.Internal communication, i.e. communication within the business.
2.External communication, i.e. communication outside the business.


Internal communication

Typical forms of internal communication include:

Electronic mail. This has rapidly become the most common form of written communication within an organisation.
Company websites. A website will typically involve a portal or section dedicated to internal communication with and between employees.
Company databases. In most large organisations including banks like Abbey, employees will be able to access a number of company databases e.g. to access details of customers accounts when dealing directly with customers.
Face-to-face interactions. Dealing directly with other employees in an organisation is a regular occurrence and provides an excellent way for sharing ideas and for working co-operatively.
For example, in an Argos store an essential ingredient of processing customer orders is interaction between customer service staff.
At the Inland Revenue, a major aspect of working together is being 'approachable and understanding at all times' in dealing with colleagues.
Meetings can either be of a formal or informal nature.
In manufacturing companies like Nissan teams of employees regularly meet to discuss issues about quality.
Phone communications are another important form of oral communication with most large companies having a low cost internal telephone system.
An internal memo (memorandum) is a short brief message to another member of the same organisation. Typically memos today are sent by e-mail.
Staff magazines, notices and posters on staff notice boards provide other means of internal communications.

Typical forms of external communication include:
1. Written communication in the form of letters, and advertising material such as leaflets, brochures, posters, etc.
2. Oral communication in the form of phone calls, and
3. direct face to face interactions.


Online communications

Oral communication is very important in service industries and staff in organisation like banks, insurance companies etc are specially trained for such work. Oral communication through call centers is particularly important as a poorly trained operator may lose a business millions of pounds worth of sales or custom.
Online communications - have become particularly important with the development of e-commerce. Most large companies have commercial websites enabling customers to buy online.
The Inland Revenue has created a website which enables customers to fill in their tax return online, Cummins the engine manufacturer has an extensive website enabling customers to find out information about servicing and maintaining their engines online. Help is provided to customers through pop-up help facilities.

Television advertising - is another important source of visual communication, and companies like Kraft and Cadbury-Schweppes typically launch new products through exciting television advertising campaigns.

The Times 100 is a good example of a modern business that uses online communication to reach its target audience. The Times 100 provides real case studies about leading business organisations both in an online format and in photocopiable resource packs which are sent out to every school in the UK. Today, thousands of students from all over the world study The Times 100 online, browsing and printing off the case studies, examining theory topics, and testing their knowledge through quizzes and activities. A great advantage for the student is that they are rapidly able to access the parts of the resource that most interest them, as well as being able to interact with the resource in the manner that is most suitable to them.

Email - electronic mail carried on the Internet. Online - being connected to a network - typically on the Internet. You can also refer to a resource being online when it is available on a website. Portal - is a website that leads you to other websites.



(source: www.thetimes100.co.uk/theory/theory--working-together-business-communications---388.php)

Tuesday 26 May 2009

Sir Matt Busby (100 years!)

Sir Matt remembered
One of English football's greatest-ever managers was born 100 years ago this Tuesday (26 May) in the Scottish village of Orbiston.

A former Manchester City and Liverpool player, Matt Busby accepted the position of United manager on 19 February 1945, and then joined the club full-time on his demobilisation from the armed forces in October 1945.

Together with his loyal assistant manager Jimmy Murphy, Busby created a team good enough to win the FA Cup in 1948 and to challenge for the League Championship. After finishing runners-up four times, Busby's men won the title in 1952.

Far from being blinded by their success, Busby and Murphy had the foresight to plan ahead and prepare for the day when their first great team would need replacing. The club's scouting system was expanded and reorganised, soon yielding a young team that won the title again in 1956 and 1957 and reached the FA Cup final in 1957. This young team was christened the 'Busby Babes.'

Busby trailblazed the way for English clubs by entering the European Cup in 1956/57 - initially against the wishes of the Football League. United reached the semi-finals, losing to eventual winners Real Madrid.

The following season, 1957/58, bristled with promise and United were still challenging in all three competitions by February when disaster struck. On 6 February 1958, the aeroplane bringing the team home from a European Cup match against Red Star Belgrade crashed after refuelling in Munich. Twenty-three people were killed, including eight of Busby's players and three club officials.

Busby almost lost his life as well - he was twice given the last rites while lying gravely ill in a German hospital. Fortunately, he survived and returned to Manchester 71 days after the crash. Taking up the managerial reigns again in August 1958, Busby began to rebuild United, bringing in some big money purchases to add to his homegrown talent. The new group of players reached the FA Cup final in 1963 and beat Leicester City 3-1 to claim the club's first trophy after Munich.

League titles followed in 1965 and 1967, giving Busby the chance to conquer Europe in the following seasons. In 1965/66, United reached the semi-finals, just as they had done in 1956/57 and 1957/58. But in 1967/68 they went further, to the final at Wembley where they faced Portuguese side Benfica.

On another night of great emotion, United triumphed 4-1 after extra-time to win the European Cup. It was a fitting tribute to the players and staff killed and injured 10 years before and was Busby's crowning achievement as United manager. Busby retired at the end of the following season, but stayed on as general manager while Wilf McGuinness became the man in charge of the team on a day-to-day basis. The new arrangement lasted little more than a year - on 28 December 1970, Busby was invited by the Directors to return to his old job and replace McGuinness until the end of the season.

A respected figure throughout his career, Busby was awarded the CBE in 1958. Ten years later, was knighted following United's European Cup triumph. In 1993 Warwick Road North, the road which runs past Old Trafford, was renamed Sir Matt Busby Way in honour of the man described as 'Mr Manchester United'.

When, after a short illness, Sir Matt died on 20 January 1994, thousands of people lined the streets of Manchester and similar numbers of shirts, wreaths, pictures and scarves were laid in tribute at Old Trafford. A bronze statue of Sir Matt was unveiled at the stadium on 27 April 1996, as a permanent memorial to the man who epitomised the club.

Five years after Busby's death, United won the European Cup for the first time since 1968. Poignantly, the date of that triumph for Sir Alex Ferguson's side, 26 May 1999, would have been Matt's 90th birthday.


source: www.manutd.com 25/05/2009 07:10 BST
(This article is an extract from Sir Matt's profile on ManUtd.com. Read his full profile in our Players & Staff section. -man utd)

Monday 18 May 2009

Mbagala: wahanga mlipuko wa mabomu

Wapangaji walalamika kubaguliwa


Wakati serikali imesitisha zoezi la kuandikisha nyumba na mali za watu walioathirika kwa mabomu yaliyolipuka katika kambi ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Mbagala, jijini Dar es Salaam, baadhi ya watu waliokuwa wamepanga katika nyumba hizo wamelalamika kuwa mali zao hazijaorodheshwa kwa ajili ya kufanyiwa tathmini.

Tangu mabomu ya JWTZ yalipolipuka Aprili 29, mwaka huu na kuua raia 20 na wanajeshi sita, nyumba zipatazo 7,241 zimekwishafanyiwa tathmini na Kamati ya Kutathmini Mali za Waathirika, iliyoundwa kufanya kazi hiyo. Watu wapatao 200 walijeruhiwa baada ya milipuko hiyo.

Kamati hiyo iliyoundwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi, ilitakiwa kutoa ripoti ya awali jana, lakini kutokana na kutokamilika, imeongezewa muda hadi mwishoni mwa mwezi huu.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Cleophace Rweye, alisema kuwa zoezi la kuandikisha nyumba na mali limesitishwa rasmi na jambo wanalofanya sasa ni kumalizia kazi ya kuthaminisha mali hizo.

Rweye alisema zoezi hilo linaendelea vema na wanatarajia kumaliza katika muda waliopewa.

Alisema wanachofanya kwa sasa ni kuandikisha na kuthaminisha nyumba mpya ambazo ziliharibiwa na milipuko ya mabomu iliyotokea Jumatano iliyopita wakati askari wa jeshi hilo walipokuwa wakiteketeza mabomu ambayo hayakuwa yamelipuka katika ajali ya kwanza.

Wakizungumza na Nipashe jana, baadhi ya wenye nyumba na wapangaji walilalamikia zoezi zima la uandikishaji wakidai kuwa mali zao nyingi zilikuwa zimeachwa bila kuandikishwa.

Mchungaji wa Kanisa la African Inland (AIC), Ezekiel Mahalu, alisema wathamini hao wameandikisha kanisa tu na kuacha vifaa vya muziki vilivyoharibika vyenye thamani ya Sh. milioni 10.

Alisema wathamini hao hawakuandikisha mali zozote licha ya kutakiwa kufanya hivyo.

Mpangaji Joshua Kishiwa, alisema wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alipotembelea Mbagala baada ya milipuko hiyo, aliwaahidi kwamba nyumba na mali zote zilizoharibiwa zitaorodheshwa na kuthaminiwa kwa ajili ya kuwalipa fidia wahusika.

Kishiwa ambaye alidai kuwa mali zake zimeharibiwa kabisa, alisema hakuna hata moja ambayo imeorodheshwa kwa ajili ya kufanyiwa tathmini.

“Wamechukua picha ya mwenye nyumba wangu na kuandikisha nyumba yake, lakini sikuulizwa kuandikisha mali zangu. Nilifikiri kwamba walikuwa wanaanza kwanza kuandikisha nyumba na baadaye kuandikisha mali. Nimeshitushwa sana kusikia kwamba zoezi hilo limefungwa rasmi,” alisema.

Mustapha Muhidin, alisema haikuwa sahihi kwa wathamini kuzingatia tu suala la nyumba kwa sababu katika nyumba waliyokuwa wakiishi kulikuwa na wapangaji watano na hakuna hata mmoja aliyetakiwa kuandikisha mali zake.

Muhidin alihoji kitendo cha wathamini kwenda kinyume cha agizo la Waziri Mkuu kwa sababu mali zao zote zilikuwa zimeharibiwa na sasa hakuna hata mmoja aliyekwenda kuandikisha mali zao.

Aliiomba serikali kufuatilia zoezi zima kwa sababu mwisho wa siku kutakuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wapangaji.

Said Mohamed aliwalalamikia wathamini hao kwa kukataa kuandikisha televisheni yake moja, seti ya DVD pamoja na samani. Alisema kwa sasa hana kazi, hali ambayo itamuwia vigumu kupata vitu hivyo katika siku za hivi karibuni.

“Kama zoezi la uandikishaji limefikia mwisho na mali zangu hazijaandikishwa, ina maana kwamba sitaweza kuwa na televisheni tena,” alisema.

Wakati huo huo, Diwani wa Mbagala Kuu, Anderson Chale, alisema walimkamata mtu mmoja akijaribu kuandikisha nyumba yake ambayo ilikuwa katika hatua ya ujenzi.

Alisema mara baada ya kubaini ukweli kwamba mkazi huyo alikuwa na lengo la kuwadanganya wathamini, jina lake liliondolewa katika orodha ya watu wanaotakiwa kulipwa fidia. Alisema serikali itaendelea kutoa chakula kwa waathirika hadi hapo watakapolipwa fidia.


CHANZO: NIPASHE 18th May 2009

Friday 15 May 2009

Ikulu yampongeza Mhe. Anne Kilango MB

DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Mheshimiwa Anne Kilango (MB), Jimbo la Same Mashariki

YAH: KUTUNUKIWA TUZO YA KIMATAIFA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MAREKANI KWA WANAWAKE JASIRI (SECRETARY OF STATE’S GLOBAL AWARD FOR WOMEN OF COURAGE)

Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amepokea kwa furaha kubwa habari za kutunukiwa kwako Tuzo ya Mwanamke Jasiri kwa Mwaka 2009 inayotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani. Aidha anakupongeza kwa mafanikio hayo makubwa na ya kujivunia.

Kutunukiwa kwako Tuzo hiyo ni ishara ya kutambuliwa na kuthaminiwa kwa mchango wako katika mapambano dhidi ya rushwa. Aidha, ukiwa Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi, Tuzo hii ni tunda la wazi la utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya 2005 kuhusu vita dhidi ya rushwa ambayo Chama Cha Mapinduzi na Serikali yake vimetoa fursa pana zaidi kwa wananchi, wanahabari na viongozi wakiwemo Waheshimiwa Wabunge kushiriki kwa ukamilifu zaidi.
Hongera sana.

Ikulu
Dar es Salaam
27 March, 2009


chanzo: www.tanzania.go.tz

Tuesday 12 May 2009

Usitumie pesa kama chambo!

Vitu ambavyo wanawake hupenda mwanamume awe navyo


Sifa moja kubwa kwa wanawake ni ule uwezo wao wa kuzifanyia kwa vitendo hisia zao na mara nyingi huwa wawazi wanapovutiwa au kuchukizwa na kitu lakini huonyesha hisia zao kwa vitendo.

Kwa mfano mwanamume unaweza kukutana na mwanamke na kukubaliana kupeana namba za simu, unapompigia siku nyingine anakubali kutoka na wewe na siku inapowadia mwanamke huyo hatokei, unapompigia anakuambia jambo lingine lililojitokeza. Jambo kama hilo kwa kweli limewatokea wanaume wengi na wameishia kuumia na kuchukia na wengi hata kuwaita wanawake waongo na kwamba hawaaminiki.

Ninachotaka kusema ni kwamba wanawake wengi wanaweza kusema kitu na kufanya kingine na kuona sawa tu kwa vile huwa mara nyingi wanafuata hisia zao. Wanaume wanachotakiwa kufahamu ni kwamba ni mara chache sana wanawake hubadili tabia kama hiyo, hivyo cha kufanya ni wao kujitahidi kuwajengea hisia ili hata wanapopanga miadi ya kuonana, wawe na hisia hizo.

Na hapo ndipo mada yetu inapoanzia ambayo ni kuelezea vitu ambavyo wanawake wanavitaka kwa mwanamume na kuwavutia hisia zao kiasi kwamba mwanamume mwenye sifa hizo anapowekeana nao miadi hawawezi kutohudhuria. Wengi wa wanaume hufikiria kwamba wanawake wengi huvutiwa na wanaume wanaojulikana, matajiri na wenye sura au mwonekano wa kuvutia lakini ukiangalia kiundani hilo linaweza likawa halina ukweli thabiti.

Nasema hivyo kwa kuwa inawezakana kabisa baadhi ya wanawake wakawa hawafahamu ni kitu gani kinachowavutia kwa mwanamume anayemtaka, kwa maneno mengine ni kwamba mambo ya fedha au kujulikana kwa mwanamume kunaweza kutowavutia. Hivyo hata kama mwanamume si tajiri au mwenye sura ya kuvutia anaweza kuwavutia wanawake kulingana na namna atakavyofanikiwa kuzivuta hisia zao.

Jambo la msingi ambalo wanaume wanapaswa kujua kuhusu wanawake ni kwamba wengi wao hutafuta wanaume ambao wanaweza kuzigusa hisia zao bila kujali sura wala fedha walizonazo hayo ni mambo ya nyongeza tu. Japokuwa si wanawake wengi ambao wako tayari kueleza ukweli kuhusu hili, wengi ukiwauliza ni mambo gani wanayatarajia kwa mwenza wao watakwambia kijana mtanashati, mkweli, mwenye mafanikio na mwenye mvuto.

Lakini katika hali halisi kama akifanikiwa kukutana na mwanamume mwenye sifa kama hizo halafu kwa bahati mbaya ikatokea kijana huyo akawa king’ang’anizi ambaye anamfuatafuata mwanamke huyo kila anapokwenda bila kumpa uhuru, basi hawezi kujenga naye uhusiano.

Na kwa upande mwingine mwanamke huyo huyo kama akikutana na mwanamume ambaye hana sifa alizokuwa anazitarajia lakini akafanikiwa kumvuta hisia zake basi anaweza kujenga uhusiano naye tena wa maana. Hivyo basi linapokuja suala la mvuto wa mapenzi kwa mwanamke haliangalii kama mwanamume ni tajiri au masikini, mzuri au anatisha ilimradi tu aweze kuzivuta hisia za mwanamke huyo.

Kinachotakiwa ni mwanamume kujua kutumia lugha na mwili wake pamoja na mbinu nyingine za mawasiliano ambazo zinaweza kumvutia mwanamke badala ya kumkimbia. Si jambo la ajabu siku hizi kwa mwanamume kumpata mwanamke au hata kufanikiwa kuzungumza naye ambaye hapo awali alijiona hatoweza kufanikiwa hilo.

Jaribuni kujiamini na acheni kabisa kutumia fedha kama kigezo cha kumvutia mwanamke kwani wengi wenu fedha zenu zitatumiwa na faida yoyote msiipate. Kumbukeni kuwa anachokitaka mwanamke kwa mwanamume ni tofauti kabisa na kile ambacho kitamvutia kwa mwanamume huyohuyo, hivyo unaweza kuwa na sifa zote lakini kama hukucheza karata zako vizuri ukashindwa kumteka moyo mwanamke unayemtaka.

Dimbwimahaba@dailynews-tsn.com


...............................
chanzo: habari leo Mei 12, 2009.
Imeandikwa na Halima Mlacha; Tarehe: 12th May 2009 @ 07:50

Tuesday 5 May 2009

Ajali ya mlipuko wa mabomu: Wanajeshi waliopoteza maisha

Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa imewataja wanajeshi watano na ofisa wa jeshi hilo mmoja waliopoteza maisha wakati wakiwa ndani ya ghala la kuhifadhia silaha lililolipuka wiki iliyopita. Wanajeshi hao waliopoteza maisha wakiwa ndani ya ghala hilo wakifanya kazi zao za kawaida na kupoteza maisha ni pamoja na Meja A. M Muhidin, Sajini Amelye Mbeyale, Koplo Phinias Mwambashi, Koplo Mohamed Seif na Koplo Bernard Mbilo. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi alimtaja mwingine aliyepoteza maisha kuwa ni Ofisa Mteule Daraja la Kwanza, Timothy Mtweve ambaye alikwenda eneo la tukio kwa ajili ya kuzima moto na kuwaokoa walioumia katika mlipuko huo.

Alifariki dunia alipofikishwa hospitalini kwa matibabu. Dk. Mwinyi alisema katika tukio hilo, wanajeshi wawili waliokuwa nje ya ghala hilo la kuhifadhia silaha walijeruhiwa. “Wengine mwanajeshi na mpishi walikuwa nje ya ghala walifanikiwa kukimbia baada ya kusikia mlipuko na hao tunawategemea kutusaidia kutoa maelezo ya chanzo cha mlipuko huo,” alisema Dk. Mwinyi.

Dk. Mwinyi alisema kuwa Baraza la Uchunguzi limeshaundwa kuchunguza tukio hilo ambalo lina wajumbe tisa na linaongozwa na Meja Jenerali Sylvester Chacha Rioba. Wajumbe wa baraza hilo ni pamoja na wataalamu wa milipuko, wakemia, maboharia, Ofisa wa Polisi, Ofisa wa Idara ya Zimamoto na Ofisa Mhakiki Mali. Hadidu rejea kwa baraza hilo ni pamoja na kuchunguza na kubaini chanzo, madhara, hasara na kupendekeza hatua za kuchukuliwa ili kuzuia tukio kama hilo lisitokee tena. Sambamba na baraza, hatua za ziada zinachukuliwa kuepusha tukio kama hilo lisitokee katika maghala mengine.

Tahadhari ya usalama inatolewa kwa wananchi wote wasiokote au kuficha chuma chochote kilichotokana na mlipuko, silaha, risasi zilizosambaa eneo la mlipuko na kwenye makazi. Vitu vya aina hiyo vitolewe taarifa kwa timu ya wanajeshi wanaovikusanya au kituo cha Polisi, ni kosa la jinai kama mtu atapatikana anahifadhi silaha, risasi au mlipuko wa aina yoyote”, alisisitiza Waziri huyo.

Waziri huyo alisema kazi ya kusafisha eneo la makazi ya wananchi kwa kuondoa vipande vya mabomu na mabaki ya makombora inaendelea na kuwataka wananchi watoe ushirikiano kwa wanajeshi kuwaonyesha yalipo mabaki. Aprili 29, mwaka huu, ghala lililokuwa limehifadhi silaha ndogondogo, mabomu, makombora na risasi katika kambi ya Jeshi Mbagala lililipuka na kusababisha vifo vya wanajeshi hao na raia 18 sambamba na nyumba kadhaa kuharibika.

Wakati huohuo, serikali imesema kwa mujibu wa tathmini kaya 3,750 za wakazi wa eneo la Mbagala Kuu hazina mahala pa kuishi baada ya nyumba zao kuharibiwa vibaya na milipuko hiyo ya mabomu. Aidha, Sh milioni 660.2 zimechangwa na watu mbalimbali ikiwamo serikali kwa ajili ya kusaidia ununuzi wa chakula, maji, mahema, nguo na mahitaji mengine muhimu.

Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kupokea msaada wa Sh milioni 5.2 kutoka kwa Jumuiya ya Mabohora Dar es Salaam, iliyoongozwa na Makamu Mwenyekiti wake, Zainuddin Adamjee, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi alisema kwa mujibu wa tathmini hiyo mpaka sasa nyumba 4,636 zimeharibika vibaya. “Tunajaribu kufanya kila tunaloweza kuwasaidia waathirika wa tukio hili na tayari serikali imetoa mifuko 3,750 ya mchele ambapo kila kaya itapewa mfuko mmoja wa kilo 30 na maharage kilo 10,” alisema Lukuvi.

Alisema pamoja na hayo wanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwamo ya ukosefu wa mahema ambayo mpaka sasa yamepatikana 87 wakati mahitaji halisi ni mahema 550. “Hapa Tanzania hakuna mahala pa kununua mahema hivyo tunategemea kuazima, tumeaongea na Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (UNHCR) bado tunasubiri,” alisema. Alisema kwa sasa kinachoendelea ni tathmini ambapo timu za wathamini zimeanza kazi lakini zimeongezewa nguvu na wathamini kutoka Morogoro, Pwani na Tanga na wamezungumza na Mkuu wa Chuo cha Ardhi ambaye ameahidi kuongeza wahitimu 20 wa tathmini katika timu hiyo ili kuweza kufanya tathmini ya nyumba lakini pia pamoja na mali.

Akizungumzia wagonjwa, alisema hadi sasa katika Hospitali ya Temeke wapo 12 na wengine 15 wameongezeka jana ambao kati yao tisa wamelazwa, waliokufa ni raia 18 na maiti zote zimetambuliwa ikiwapo iliyoopolewa jana katika mto Mzinga na kati ya maiti hizo 15 zimezikwa Dar es Salaam moja Singida. Kwa upande wa misaada, Lukuvi alisema serikali imetoa Sh milioni 200, Ofisi ya Waziri Mkuu Sh milioni 200, Bakhresa Sh milioni 100, Quality Group milioni 30, Mwenyekiti wa IPP Reginald Mengi Sh milioni 25, Vodacom Sh milioni 20, Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam Sh milioni 20, manispaa zote tatu Ilala, Temeke na Kinondoni Sh milioni 60 na Mabohora Sh milioni 5.2.

Alisema fedha hizo zimetumika kulipia gharama za mazishi, kununulia vyakula, maji, nguo kama vile mablanketi na vyandarua, posho za wathamini, mafuta ya magari na posho za askari Polisi 100 wanaolinda eneo la kambi. Naye Meya wa Manispaa ya Temeke, Jerome Bwanausi, alisema kutokana na malalamiko ya baadhi ya waathirika kwamba misaada haiwafikii mengi ni ya uongo na kwamba timu iliyopangwa kugawa misaada hiyo inagawa kulingana na tathmini inayofanywa na idadi ya kaya. Wakati gazeti hili likiwa eneo la maafa, lilishuhudia kikosi cha askari wa JWTZ kikifukua kifusi cha nyumba zilizobomoka huku kikitoa tahadhari kwa watu kukaa mbali kutokana na kuwapo uwezekano wa mabomu ambayo hayajalipuka



(chanzo: www.habarileo.co.tz,
Imeandikwa na Maulid Ahmed na Halima Mlacha; Tarehe: 5th May 2009 @ 08:48)

Friday 1 May 2009

Ajali na Mlipuko wa mabomu Mbagala, Dar

11 wafa kwa mabomu

Watu 11 wakiwamo wanajeshi sita, wamethibitika kufa katika milipuko ya makombora na mabomu iliyotokea juzi katika kambi ya maghala ya silaha ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Mbagala Kizuiani, Dar es Salaam. Idadi hiyo ya vifo imeongezeka ikilinganishwa na ya juzi, ambapo ilithibitika kuwa watu watatu walikufa katika milipuko hiyo wote wakiwa raia, akiwamo mwanamke mkazi wa Mbagala Kuu eneo la Mwanamtoti aliyekatwa kiuno na chuma cha makombora.

Pamoja na watu hao pia askari sita wengine haijulikani walipo huku wagonjwa zaidi ya 117 wakiwa bado wamelazwa katika hospitali za Temeke na Muhimbili wakiendelea na matibabu na wengine wawili wamelazwa katika Chumba cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU).

Rais Jakaya Kikwete jana alitembelea kambi hiyo akifuatana na mawaziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Lawrence Masha, Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe, Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Emmanuel Nchimbi, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Davis Mwamunyange na wakuu wa usalama akiwamo Mkuu wa Polisi (IGP) Said Mwema.

Akitoa taarifa ya athari ya tukio hilo ambalo bado chanzo chake hakijabainika mbele ya Rais Kikwete, Mkuu wa Tiba wa JWTZ, Profesa Brigedia Jenerali Yadon Kohi, alisema mpaka sasa majeruhi waliohusika katika tukio hilo ni 163 na kati yao 35 wamelazwa wakiwa na majeraha makubwa. “Wagonjwa 24 wamelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kati yao, saba wamejeruhiwa vibaya na watatu wamelazimika kufanyiwa operesheni ya dharura jana (juzi) usiku,” alisema Kohi.

Alisema wagonjwa 11 wamelazwa katika Hospitali ya Temeke huku wengine 117 wakifanyiwa uchunguzi na 11 ndio waliopoteza maisha wakiwamo watano raia na sita askari Jeshi ambao watano wamebainika kufa baada ya kupatikana kwa viungo vyao kama vile vipande vya miguu na nyama vikiwa vimezagaa eneo la tukio na mmoja kufia hospitalini. Alisema kati ya raia watano, wanne kati yao walikufa papo hapo kutokana na athari za milipuko ya mabomu hayo, mmoja ni mtoto aliyekufa kwenye Mto Mzinga alikotumbukia wakati akikimbia kuokoa maisha yake.

Naye Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Jenerali Abdulrahaman Shimbo, akitoa taarifa ya athari za tukio hilo kwa upande wa Jeshi, alisema milipuko ya mabomu hayo imesababisha hasara kubwa katika maghala hayo ya silaha ambazo hata hivyo idadi na kiasi cha hasara kimetakiwa kisitajwe. Alisema kambi hiyo ambayo ni kiungo cha masuala ya kitaalamu cha Jeshi ilianzishwa mahsusi kwa madhumuni ya kuandaa silaha na zana za kupelekwa Msumbiji na nyingine za dharura.

“Hata askari waliopangiwa kwenda Darfur kama silaha zao zikipatikana na hitilafu huletwa katika kambi hii kuchunguzwa na hupewa nyingine,” alisema Shimbo wakati akitoa mfano wa matumizi halisi ya kambi hiyo. Naye Mkuu wa Kikosi cha Anga, Brigedia Jenerali, F. Olomi, akitoa taarifa ya kambi kwa Rais alisema tukio hilo limesababisha hasara kwa kuharibu kabisa baadhi ya ofisi za kambi hiyo ikiwa ni pamoja na kuteketeza nyumba 50 za raia.

“Hali ilikuwa mbaya, mabomu yalikuwa yanaruka yametekeza ofisi, mashubaka ya kuhifadhia makombora na vifaa vya Jeshi baadhi vimeungua na nyumba 50 za raia zimeteketea kwa moto na nyingine mabati yametoka na kuta kudondoka,” alisema Olomi.

Alisema kazi kubwa kwa Jeshi hilo kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Dola, ilikuwa ni kuhakikisha usalama wa raia kutokana na milipuko hiyo ya makombora kusababisha mengine kuruka hadi umbali wa kilometa 21. “Bomu moja aina ya roketi limeokotwa leo (jana) eneo la Banana karibu na Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere,” alisema.

Pamoja na hayo Olomi alisema bado askari hao hadi jana walikuwa wakiendelea kukagua na kukusanya mabaki ya makombora ambayo hayakulipuka, lakini yaliruka hadi maeneo ya raia na maroketi ambayo yamezagaa katika maeneo mbalimbali ya Mbagala.

Katika ziara hiyo, Rais Kikwete ambaye hakuzungumza chochote zaidi ya kutoa pole kwa wahusika, alitembelea kambi hiyo, baadhi ya maeneo ya wananchi ambayo yameathirika, Hospitali ya Temeke na Muhimbili ambako alizungumza na kuwafariji wagonjwa.

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Temeke, Dk. Aisha Mahita, akitoa taarifa yake kwa Rais, alisema wagonjwa 210 walifikishwa hospitalini hapo jana miongoni mwao wakiwamo walioumia vibaya na hadi jana walibaki wagonjwa 39 huku wengine wakiruhusiwa na wengine wakihamishiwa katika hospitali nyingine kutokana na hali zao kuwa mbaya.

Wakati katika Taasisi ya Mifupa (MOI) pekee kwa mujibu wa Ofisa Habari wa Taasisi hiyo, Jumaa Almasi walikuwapo wagonjwa 25, kati yao wanane waliruhusiwa, 13 wamelazwa ambao kati yao wawili wamelazwa ICU.

Katika wodi nyingine ambazo Rais Kikwete alitembelea ikiwamo ya Mwaisela kulikuwa na wagonjwa sita wakiwamo waliovunjika miguu, kiuno na wengine kuishiwa nguvu huku kukiwa na taarifa za kuwapo wagonjwa wengine katika wodi ya Kibasila, lakini idadi yake haikuweza kupatikana mara moja.

Aidha gazeti hili lilitembelea kambi ya Jeshi Kituo cha Mgulani (JKT) ambako kulihifadhiwa watoto na watu wazima 255 waliokimbia milipuko hiyo ya mabomu na hadi jana bado kulikuwa na watu 83 ambao hawajaonana na familia zao kati yao wakiwamo watoto 61 na watu wazima 22.

Aidha kwa uchunguzi uliofanywa na 'HabariLeo' imebainika kuwa baadhi ya wazazi wakazi wa Mbagala jana bado walikuwa wakitafuta watoto na ndugu zao ambapo wengine walifanikiwa kuwaona na wengine bado wanaendelea kuwatafuta.

Hata hivyo kwa tathmini ya haraka iliyofanywa na gazeti hili, hali ya kambi hiyo imeonekana kutulia huku kukiwa hakuna hatari ya kutokea tena kwa milipuko hiyo, ingawa bado kuna hofu kwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo ambao walijikusanya wengi barabarani wakati Rais Kikwete alipotembelea eneo hilo.

Kwa upande wake, Kamanda wa Kanda Maalumu Mkoa wa Dar es Salaam, Suleiman Kova, wakati akihojiwa asubuhi na Taasisi ya Taifa ya Utangazaji (TBC) alisema vurugu kubwa na kuumia kwa watu wengi juzi kulitokana udanganyifu na vitisho vilivyokuwa vikisambazwa kwa njia ya simu na baadhi ya watu.

“Watu walizidisha uongo kuliko hali halisi ya tukio, mtu anatuma ujumbe mfupi eti kuna bomu kubwa linasubiriwa likilipuka Dar es Salaam nzima itateketea, jamani kukitokea hali kama hii tulieni msubiri maelekezo kutoka vyombo vya Dola,” alisema. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umetoa salamu za rambirambi na pole kwa wafiwa waliopoteza ndugu zao na kujeruhiwa katika tukio hilo. “Tunaamini tukio hili ni bahati mbaya na kamwe si hujuma.”



source: www.habarileo.co.tz (Imeandikwa na Halima Mlacha; Tarehe: 1st May 2009)